Habari!
Natafuta shamba la kukodi katika mkoa wa pwani sizizo pungua ekari 10.
Sifa za shamba:
1. Liwe karibu na chanzo cha maji ya uhakika, Kwa kipindi chote cha mwaka.
2. Shamba lisijae maji hasa kipindi cha vuli. Litakuwa Bora Kama na masika halitojaa.
3. Lisiwe mbali Sana kutoka Barabara kuu.
4. Udongo tifutifu, mfinyanzi ulichanganyika na kichanga.
Sent from my MI 8 Lite using JamiiForums mobile app
Natafuta shamba la kukodi katika mkoa wa pwani sizizo pungua ekari 10.
Sifa za shamba:
1. Liwe karibu na chanzo cha maji ya uhakika, Kwa kipindi chote cha mwaka.
2. Shamba lisijae maji hasa kipindi cha vuli. Litakuwa Bora Kama na masika halitojaa.
3. Lisiwe mbali Sana kutoka Barabara kuu.
4. Udongo tifutifu, mfinyanzi ulichanganyika na kichanga.
Sent from my MI 8 Lite using JamiiForums mobile app