Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukisikia aliyenalo tutakwambia, ila kama unahitaji Njombe kwa ajiri ya kuwekeza misitu nipm
kama unataka la kununua Tanga wilaya ya Handeni mazao yanastawi sana kuliko huko kiteto na kibaigwa ni PM bei ni ndogo sana inaweza kuwa sawa na kukodi huko kiteto kwenye migogoro ya wakulima na wafugaji.
mkuu huko lipo la kukodi au kununua?
Inauzwaje ekari moja huko Handeni???!!!
Hivi huo mgogoro uko Wilaya nzima huko Kiteto???!!!
Mtoa mada ukiwa tayari kwa masuala ya Kiteto hebu fanya PM tutaanzia huko na kumaliza huko!!!
Kununua mkuu wangu, ila kama unataka la kukodi naweza kukutafutia pia. Unataka kupanda nini kwani mkuu
Kwa mfano miti naweza nikapata na kama kununua kwa heka inakuwa sh ngapi
Habari mkuu?....Sorry, naomba kuuliza handeni mashamba yanauzwaje kwa eka?...Vipi upatikansji wa maji?kama unataka la kununua Tanga wilaya ya Handeni mazao yanastawi sana kuliko huko kiteto na kibaigwa ni PM bei ni ndogo sana inaweza kuwa sawa na kukodi huko kiteto kwenye migogoro ya wakulima na wafugaji.
Yanapatikana kwa bei gani mashamba handeni mkuukama unataka la kununua Tanga wilaya ya Handeni mazao yanastawi sana kuliko huko kiteto na kibaigwa ni PM bei ni ndogo sana inaweza kuwa sawa na kukodi huko kiteto kwenye migogoro ya wakulima na wafugaji.
Mkuu mashamba yapo ya kutosha, ingia pm hapo tuzungumze yapo ya kutosha even hekari 10 utapata tuHi
natafuta shamba kibaigwa/kiteto la kukodi msaada tafadhali