Natafuta shamba la kukodi

Natafuta shamba la kukodi

Jman

Member
Joined
Jan 19, 2015
Posts
39
Reaction score
2
Habari waJF, kwa ufupi nipo Dar kwa maeneo ya Chanika sina uenyeji wa kupata shamba la kukodsha. Nataka nkalime kilimo cha nyanya mwezi wa pili kulingana na hali ngumu ya maisha, nmetafuta kazi ya kuajiriwa tangu nimalize chuo bado sijafankiwa. Nasikia kilimo kinatoa zaidi ya kuajiriwa nami sasa nmeamua nkajiajiri kwenye kilimo. Nahtaji nusu hecta. Naomba kuwasilisha hoja.
 
Habari wajf, kwa ufupi npo dar kwa maeneo ya chanika cna uenyeji wa kupata shamba la kukodsha. Nataka nkalime kilimo cha nyanya mwezi wa pili kulingana na hali ngmu ya maisha nmetafuta kazi ya kuajiriwa tangu nmalize chuo bado sijafankiwa. Nasikia kilimo kinatoa zaid ya kuajiriwa nami sasa nmeamua nkajiajiri kwenye kilimo. Nahtaji nusu hecta. Naomba kuwasilisha hoja
ila utambue kuna ugonjwa umeingia kwenye nyanya sasa hivi,wakulima wa nyanya watakwambia zaidi
 
Ni zao lipi nlime kwa sasa tofauti na nyanya mkuu
 
Nipogie nina eneo langu lina kisima na heka moja nitakukodisha hapa Ulongoni nyuma ya gongo la mboto 0713669533
 
Hapana Lima nyanya,bamia,mboga za majani,pilipili hoho,pilipili mbuzi,matango..ili uweze kuvuna vizuri kwa faida...
 
Nipogie nina eneo langu lina kisima na heka moja nitakukodisha hapa Ulongoni nyuma ya gongo la mboto 0713669533

mwenzio anataka ekari1.25 kama alimaanisha nusu hecta! usimuharibie mahesabu mkuu!
target ya nyanya na hoho yupo sahihi ila ubora wa

ardhi+ geographic condition lazima uzingatiwe ili kupata mavuno sahihi na kukabiliana na changamoto!
karibu kwenye ukulima ila sharti uingie mzima mzima! ukianguka kung'uta mavumbi kisha usinge mbele!
 
mwenzio anataka ekari1.25 kama alimaanisha nusu hecta! usimuharibie mahesabu mkuu!
target ya nyanya na hoho yupo sahihi ila ubora wa

ardhi+ geographic condition lazima uzingatiwe ili kupata mavuno sahihi na kukabiliana na changamoto!
karibu kwenye ukulima ila sharti uingie mzima mzima! ukianguka kung'uta mavumbi kisha usinge mbele!

Nmekuelewa mkuu kila kazi inachangamoto zake ntakomaa hadi ieleweke. Ahsante kwa ushaur wako mkuu
 
Hakuna kitu kisicho na changamoto. Muhimu kukomaa tu.
 
Back
Top Bottom