Natafuta shareholder katika uwekezaji wa jengo/kiwanja

Natafuta shareholder katika uwekezaji wa jengo/kiwanja

kluger

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2016
Posts
2,093
Reaction score
1,899
Wakuu Salama,

Natanguliza shukrani kwa mawazo mazuri ambayo mnaweza nishauri.

Binafsi sina ujuzi wa mambo haya ila nimekuwa nikisia deals nyingi za namna hii zikiwa zimefanikiwa.

Mimi namiliki kiwanja chenye hati na ndipo nyumba yangu ya familia ipo. Ni eneo zuri lililo karibu kabisa na highway ya Mandela Road, sehemu ya Ubungo. Eneo hili linakuwa kwa kasi sana.

Nimewahi sikia wamiliki wengi kama mimi, wakipata deals na wawekezaji wakubwa ambapo huingia makubaliano ya Ujenzi wa majengo ya ghorofa na wao kujengewa nyumba ndogo za familia pembezoni mwa mji wa Dar es salaam.

Binafsi naomba mnielekeze naweza vipi kukutana na aina hii ya uwekezaji ambapo sipo tayari kuuza eneo bali nataka kuingia ubia na aina hii ya wawekezaji wa majengo marefu, tukubaliane shares na Ujenzi wa nyumba yangu ndogo ya familia nje ya mji, then nitakuwa tayari kwa deal la aina hii.

Najua hapa JF kuna wataalamu wengi wa mambo haya ya real estate [emoji537], naomba ushauri na mawazo yenu nitimize lengo hili.

Vijana wadogo wa shule ambao mada hii ipo juu kiupeo kwenu naomba, msilete comments zisizostahili.

Ahsanteni.
 
Kweli.Mimi pia sio mzoefu ila mkuu kluger vyovyote utakavyoshauriwa ukianza hizo taratibu za kuingia ubia ujitahidi kumhusisha wakili ili usijeukajifunga(kimkataba) bila kujua.

Ahsante sana ushauri nauchukua
 
Karibuni wadau tushauriane katika hili
 
Wakuu Salama,

Natanguliza shukrani kwa mawazo mazuri ambayo mnaweza nishauri.

Binafsi sina ujuzi wa mambo haya ila nimekuwa nikisia deals nyingi za namna hii zikiwa zimefanikiwa.

Mimi namiliki kiwanja chenye hati na ndipo nyumba yangu ya familia ipo. Ni eneo zuri lililo karibu kabisa na highway ya Mandela Road, sehemu ya Ubungo. Eneo hili linakuwa kwa kasi sana.

Nimewahi sikia wamiliki wengi kama mimi, wakipata deals na wawekezaji wakubwa ambapo huingia makubaliano ya Ujenzi wa majengo ya ghorofa na wao kujengewa nyumba ndogo za familia pembezoni mwa mji wa Dar es salaam.

Binafsi naomba mnielekeze naweza vipi kukutana na aina hii ya uwekezaji ambapo sipo tayari kuuza eneo bali nataka kuingia ubia na aina hii ya wawekezaji wa majengo marefu, tukubaliane shares na Ujenzi wa nyumba yangu ndogo ya familia nje ya mji, then nitakuwa tayari kwa deal la aina hii.

Najua hapa JF kuna wataalamu wengi wa mambo haya ya real estate [emoji537], naomba ushauri na mawazo yenu nitimize lengo hili.

Vijana wadogo wa shule ambao mada hii ipo juu kiupeo kwenu naomba, msilete comments zisizostahili.

Ahsanteni.
Ni wazo zuri
Ila ungeweka maelezo zaidi ya ziada kama vile ukubwa wa kiwanja, eneo lilipo toka usawa wa barabara ya Mandela, uwekezaji upi wawezekana ktk eneo hilo, na terms zako za uwekezaji.
Iwapo hupendi kuweka wazi maelezo haya, vema ukaweka namba yk ya cm.
Tatu, nina uhusiano wa uwekezaji wa aina hy lkn Kariakoo mtaa wa Aggrey na Likoma. Tutawajuza wahusika ambao hufanya uwekezaji huo, then wenyewe mtakutana na kumalizana kama wataafiki eneo
 
Wakuu Salama,

Natanguliza shukrani kwa mawazo mazuri ambayo mnaweza nishauri.

Binafsi sina ujuzi wa mambo haya ila nimekuwa nikisia deals nyingi za namna hii zikiwa zimefanikiwa.

Mimi namiliki kiwanja chenye hati na ndipo nyumba yangu ya familia ipo. Ni eneo zuri lililo karibu kabisa na highway ya Mandela Road, sehemu ya Ubungo. Eneo hili linakuwa kwa kasi sana.

Nimewahi sikia wamiliki wengi kama mimi, wakipata deals na wawekezaji wakubwa ambapo huingia makubaliano ya Ujenzi wa majengo ya ghorofa na wao kujengewa nyumba ndogo za familia pembezoni mwa mji wa Dar es salaam.

Binafsi naomba mnielekeze naweza vipi kukutana na aina hii ya uwekezaji ambapo sipo tayari kuuza eneo bali nataka kuingia ubia na aina hii ya wawekezaji wa majengo marefu, tukubaliane shares na Ujenzi wa nyumba yangu ndogo ya familia nje ya mji, then nitakuwa tayari kwa deal la aina hii.

Najua hapa JF kuna wataalamu wengi wa mambo haya ya real estate [emoji537], naomba ushauri na mawazo yenu nitimize lengo hili.

Vijana wadogo wa shule ambao mada hii ipo juu kiupeo kwenu naomba, msilete comments zisizostahili.

Ahsanteni.
Umechelewa kujinadi ndugu yangu wawekezaji wote wamehamia nchi jirani ungetangaza enzi za Jk ungepata ila umetangaza enzi za maninja subiria kupata tapeli tu.
 
Ni wazo zuri
Ila ungeweka maelezo zaidi ya ziada kama vile ukubwa wa kiwanja, eneo lilipo toka usawa wa barabara ya Mandela, uwekezaji upi wawezekana ktk eneo hilo, na terms zako za uwekezaji.
Iwapo hupendi kuweka wazi maelezo haya, vema ukaweka namba yk ya cm.
Tatu, nina uhusiano wa uwekezaji wa aina hy lkn Kariakoo mtaa wa Aggrey na Likoma. Tutawajuza wahusika ambao hufanya uwekezaji huo, then wenyewe mtakutana na kumalizana kama wataafiki eneo

Ahsante sana mkuu nitakucheki kesho
 
Umechelewa kujinadi ndugu yangu wawekezaji wote wamehamia nchi jirani ungetangaza enzi za Jk ungepata ila umetangaza enzi za maninja subiria kupata tapeli tu.

Ahsante ni wazo zuri
 
Eneo liko sehemu gani ubungo?plus mawasiliano yako,be carefully matapel wengi pia

Yes, tatizo kubwa ambalo kwa sasa nasita kuweka mawasiliano ni matapeli, kwa hatua hii napokea ushauri zaidi kabla ya utekelezaji
 
Kwanza fanya valuation ya eneo na Mali zilizo kwenye hicho kiwanja.. ( tumia valuer aliyesajiliwa) ukipata mwekezaji atajua pa kuanzia kuliko kupiga blablaa tuu
 
Ni wazo zuri
Ila ungeweka maelezo zaidi ya ziada kama vile ukubwa wa kiwanja, eneo lilipo toka usawa wa barabara ya Mandela, uwekezaji upi wawezekana ktk eneo hilo, na terms zako za uwekezaji.
Iwapo hupendi kuweka wazi maelezo haya, vema ukaweka namba yk ya cm.
Tatu, nina uhusiano wa uwekezaji wa aina hy lkn Kariakoo mtaa wa Aggrey na Likoma. Tutawajuza wahusika ambao hufanya uwekezaji huo, then wenyewe mtakutana na kumalizana kama wataafiki eneo
Hao wawekezaji Bado Wapo...?
 
Back
Top Bottom