Enny
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 962
- 130
Habari wana JF.
nilikuwa na wazo la kutafuta watu wa kuungana nao katika kufungua ofisi ya uwakala wa usafirishaji hapa Dar es salaam , Tunduma na Kyela.
Mimi nina lori moja scania la kusafirisha mizigo ya madukani tani 15. kwa sasa linafanya biashara ya kusafirisha mizigo toka Dar kwenda Tunduma.
nia yangu ni kupata watu wenye mtaji kidogo wa kukodisha ofisi na sehemu ya kuhifadhi mizigo ya watu kwa Dar na ikibidi kukodisha magari mengine kwaajili ya kusafirisha mizigo.
kama kuna mtu yupo tayari tafadhari ni PM tufanye kazi.
Asante
nilikuwa na wazo la kutafuta watu wa kuungana nao katika kufungua ofisi ya uwakala wa usafirishaji hapa Dar es salaam , Tunduma na Kyela.
Mimi nina lori moja scania la kusafirisha mizigo ya madukani tani 15. kwa sasa linafanya biashara ya kusafirisha mizigo toka Dar kwenda Tunduma.
nia yangu ni kupata watu wenye mtaji kidogo wa kukodisha ofisi na sehemu ya kuhifadhi mizigo ya watu kwa Dar na ikibidi kukodisha magari mengine kwaajili ya kusafirisha mizigo.
kama kuna mtu yupo tayari tafadhari ni PM tufanye kazi.
Asante