dragonX
Member
- Feb 12, 2017
- 24
- 11
Habarini za muda huu wadau.,
Nipo serious na nitakachoandika hapa;
Nina miaka 27, Mwanaume nimejiari,
hali yangu ya kimaisha ni uchumi wa kati, By professional ni Software Engineer,
Dini Christian,
Nimetokea kuwa na hamu ya kuwa na familia, napenda sana kuwa na watoto weny mchnganyiko wa Asia.. nipo tayar kugharamika juu ya hili maana ni ndoto yangu..natafuta mpenzi or wanamke wa kuzaa naye if hatokuwa interested na mapenzi ntamlipa. na kumtunza mtoto ili mradi nitimize ndoyo yangu.
NIPO SERIOUS...
Nipo serious na nitakachoandika hapa;
Nina miaka 27, Mwanaume nimejiari,
hali yangu ya kimaisha ni uchumi wa kati, By professional ni Software Engineer,
Dini Christian,
Nimetokea kuwa na hamu ya kuwa na familia, napenda sana kuwa na watoto weny mchnganyiko wa Asia.. nipo tayar kugharamika juu ya hili maana ni ndoto yangu..natafuta mpenzi or wanamke wa kuzaa naye if hatokuwa interested na mapenzi ntamlipa. na kumtunza mtoto ili mradi nitimize ndoyo yangu.
NIPO SERIOUS...