nenda kariakoo au upanga wamejazana wengi ndugu.Habarini za muda huu wadau.,
Nipo serious na nitakachoandika hapa;
Nina miaka 27, Mwanaume nimejiari,
hali yangu ya kimaisha ni uchumi wa kati, By professional ni Software Engineer,
Dini Christian,
Nimetokea kuwa na hamu ya kuwa na familia, napenda sana kuwa na watoto weny mchnganyiko wa Asia.. nipo tayar kugharamika juu ya hili maana ni ndoto yangu..natafuta mpenzi or wanamke wa kuzaa naye if hatokuwa interested na mapenzi ntamlipa. na kumtunza mtoto ili mradi nitimize ndoyo yangu.
NIPO SERIOUS...
Injinia huyo atahack cm yako mkuu[emoji13] [emoji13] [emoji13]Hela yenyewe huna alafu software engener umejijiri?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ni maamuz yangu ndugu yako.. sorry kama kwako ni vibaya ila binadamu wote sawa unachagua yyte acha kujipunjaKwa nini Wazazi wako hawakutafuta shombe shombe wa kuzaa naye badala yake wakatafutana wote Waafrika? Acha kujitafutia laana bila ya sababu kwa kuwadharau na kuwadhihaki wazazi wako, isitoshe mbona shombe shombe hasemi anatafuta mweusi wa kuzaa naye?
Usijishushe namna hiyo, Mungu hapendi Binadamu dhaifu!
Ni maamuz yangu ndugu yako.. sorry kama kwako ni vibaya ila binadamu wote sawa unachagua yyte acha kujipunja
SawaWewe ndo unaosema hivyo kwamba ni sawa kuchagua yoyote, lkn huyo shombe shombe unayemtafuta hatokuona hivyo kwani wewe kwake ni daraja la chini, na anatafuta shombe shome mwenzake na siyo wewe, sasa kwanini ukubali Binadamu mwingine akushushe hivyo?
Mungu hakukuumba ili uwe dhaifu, bali alikuumba ujithamini na kujipenda, na siyo kutaka kuwepo mahali ambapo hautakiwi, hiyo ni dhambi!
Kwani wewe ni shombe shombe pia? Au haujitambui kifikra?Habarini za muda huu wadau.,
Nipo serious na nitakachoandika hapa;
Nina miaka 27, Mwanaume nimejiari,
hali yangu ya kimaisha ni uchumi wa kati, By professional ni Software Engineer,
Dini Christian,
Nimetokea kuwa na hamu ya kuwa na familia, napenda sana kuwa na watoto weny mchnganyiko wa Asia.. nipo tayar kugharamika juu ya hili maana ni ndoto yangu..natafuta mpenzi or wanamke wa kuzaa naye if hatokuwa interested na mapenzi ntamlipa. na kumtunza mtoto ili mradi nitimize ndoyo yangu.
NIPO SERIOUS...
Kiwanda cha kufyata hikiHabarini za muda huu wadau.,
Nipo serious na nitakachoandika hapa;
Nina miaka 27, Mwanaume nimejiari,
hali yangu ya kimaisha ni uchumi wa kati, By professional ni Software Engineer,
Dini Christian,
Nimetokea kuwa na hamu ya kuwa na familia, napenda sana kuwa na watoto weny mchnganyiko wa Asia.. nipo tayar kugharamika juu ya hili maana ni ndoto yangu..natafuta mpenzi or wanamke wa kuzaa naye if hatokuwa interested na mapenzi ntamlipa. na kumtunza mtoto ili mradi nitimize ndoyo yangu.
NIPO SERIOUS...
Anajitafutia laana bureee huyu!Kwa nini Wazazi wako hawakutafuta shombe shombe wa kuzaa naye badala yake wakatafutana wote Waafrika? Acha kujitafutia laana bila ya sababu kwa kuwadharau na kuwadhihaki wazazi wako, isitoshe mbona shombe shombe hasemi anatafuta mweusi wa kuzaa naye?
Usijishushe namna hiyo, Mungu hapendi Binadamu dhaifu!
Ha ha ha hanenda kariakoo au upanga wamejazana wengi ndugu.