Silicon Valley
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,092
- 1,118
Wakuu Salama ! ! Naomba msaada kwa yeyote anayeweza kunisaidia kupata nafasi ya kusoma mwanangu Day School maeneo MJINI, UPANGA, KARIAKOO, au hata jirani mradi kuwepo na usafiri wa uhakika, tuanweza kulipa hadi shs 2,000,000 kwa mwaka kama shule ni nzuri.
kwa mawasiliano ya haraka PM nitakupigia...
kwa mawasiliano ya haraka PM nitakupigia...