hongera shule ni nzuri kama unajielewa ww ni mwanafunzi.shule ka Umbwe sec ipo moshi ni nzuri japo ina scandles kibao,private school ka kidugala iringa.Matokeo ya kidato cha nne hayakua mazuri ila nina B-english,C-kiswahili na C-biology.Niko tayari kwa shule yenye nafasi nzuri yenye kufaulisha wanafunzi wa kidato cha sita na yenye mazingira mazuri ya kusoma.
Ikiwa hapa Dar es Salaam ni vizuri na nipo tayari kwa mchepuo wa ARTS.
mm nilikuwanajua uwa unadis vyuo tu!!!!!!kumbe mpaka secondary !!!!!wewe kweli mkali au ndio shule uliyomalizia A LEVEL nn unajaribu kiuipa promo?????????Kwa marks hzo,Nenda midland ndo watakuchukua.
mm nilikuwanajua uwa unadis vyuo tu!!!!!!kumbe mpaka secondary !!!!!wewe kweli mkali au ndio shule uliyomalizia A LEVEL nn unajaribu kiuipa promo?????????
me product ya minaki mkuu.