leilat mfaume Member Joined Mar 7, 2018 Posts 14 Reaction score 15 Mar 7, 2018 #1 Mwenye kujua shule nzuri inayotoa. Mafunzo ya QT kwa ada ya bei poa naomba anijuze, ambayo ada yake haizidi 300,000 kwa mwaka....
Mwenye kujua shule nzuri inayotoa. Mafunzo ya QT kwa ada ya bei poa naomba anijuze, ambayo ada yake haizidi 300,000 kwa mwaka....
ANTHONY KWEKA JF-Expert Member Joined Mar 26, 2013 Posts 958 Reaction score 379 Mar 7, 2018 #2 Mkoa ghan?? Day au bording
mgodi JF-Expert Member Joined Nov 5, 2010 Posts 2,780 Reaction score 1,847 Mar 8, 2018 #3 Kijana matata said: Njoo pm nitakusaidia hutojuta mkuu Click to expand... Ukitoa msaada hapa utakuwa umesaidia na wengine pia.
Kijana matata said: Njoo pm nitakusaidia hutojuta mkuu Click to expand... Ukitoa msaada hapa utakuwa umesaidia na wengine pia.
Masekomaza Member Joined Nov 6, 2017 Posts 84 Reaction score 119 Mar 8, 2018 #4 taasisi ya elimu watu wazima nenda ofis zao wanafundisha qt, ada ni laki unusu tu kwa mwaka.
A Asante Ndox New Member Joined Jan 2, 2018 Posts 3 Reaction score 0 Mar 8, 2018 #5 Nenda brothers font of academy pale ukonga, magereza
Abtali mwerevu JF-Expert Member Joined May 5, 2013 Posts 665 Reaction score 515 Feb 24, 2025 #6 Nenda kwa Mwalimu Makoba Open School Kinondoni, simu yake: 0653 250 566.