kyamtagata
Member
- Dec 21, 2013
- 56
- 26
Hãbari wana JF,mimi ninaishi Kinyelezi. Nina mpango wa kuhamia Bunju. Ninao watoto watatu wa Form three, Std 3 na begginer. Wote wanasoma kwenye English medium. Mwenye kujua shule nzuri iliyopo maeneo niliyoyataja anisaidie please.