Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanao yuko darasa la ngapi ?Naombeni msaada kwa anaefahamu shule ya msingi ya binafsi inayotumia kiswahili. Nitafurahi nikioata mawasiliano ya shule husika
Natanguliza shukrani
Morogoro ipoMoja miaka ya Nyuma haikuwa bweni sifahamu sasaNaombeni msaada kwa anaefahamu shule ya msingi ya binafsi inayotumia kiswahili. Nitafurahi nikioata mawasiliano ya shule husika
Natanguliza shukrani
Asante sana, naendelea kutafuta mawasiliano yaoNjombe kulikuwa na shule inaitwa St Bakhita.
Asante sana, ningepata jina la shule ingerahisisha. Nashukuru sana, naendelea kuulizia kwa wadau waliopo MorogoroMorogoro ipoMoja miaka ya Nyuma haikuwa bweni sifahamu sasa
Yupo darasa la 5, mkoa wowote kama shule ipo nampeleka. Asante sana kwa ushauriMwanao yuko darasa la ngapi ?
Na unataka ya mkoa gani?
Kuna moja ipo singida ila ndo wanamalizia huo mfumo wameipeleka kwenye english medium,darasa la 6na 7 ila darasa 5 kuja chini ni English medium ni shule masisiter wa RC
Naombeni msaada kwa anaefahamu shule ya msingi ya binafsi inayotumia kiswahili. Nitafurahi nikioata mawasiliano ya shule husika
Natanguliza shukrani
IPO IRINGA INAITWA LUPALAMA 'A' MAWASILIANO 0755409578Naombeni msaada kwa anaefahamu shule ya msingi ya binafsi inayotumia kiswahili. Nitafurahi nikioata mawasiliano ya shule husika
Natanguliza shukrani
Ubarikiwe sana ndugu. Ninashukuru sana. 🙏🏾🙏🏾IPO IRINGA INAITWA LUPALAMA 'A' MAWASILIANO 0755409578
Asante Sana. Naendelea kutafuta mawasiliano ili January aweze kujiunga naoCorradini ipo Morogoro,
Ubarikiwe sana ndugu yangu+255789316706 chukua hiyo hapo utapata nafasi
MOROGORO iko moja inaitwa CORADDINI iko kihonda kilimanjaro.Asante sana, ningepata jina la shule ingerahisisha. Nashukuru sana, naendelea kuulizia kwa wadau waliopo Morogoro
Asante Sana ndugu yanguMOROGORO iko moja inaitwa CORADDINI iko kihonda kilimanjaro.
Ndugu habari, ulifanikiwa kupata shule gan? naomba uzoefu kidogo.Naombeni msaada kwa anaefahamu shule ya msingi ya binafsi inayotumia Kiswahili. Nitafurahi nikioata mawasiliano ya shule husika.
Natanguliza shukrani.