Mallibbotty6
Member
- Jun 17, 2016
- 14
- 12
[emoji23][emoji23][emoji23]Kila siku tunaongea hamskii
Naona unatafuta
Kiwanja cha mgogoro ukajenge
Mambo mrembo[emoji23][emoji23][emoji23]
sema nko mbali duuhAkipatikana single mama anayeishi Kigamboni nipasie mkuu.
Tunahitaji kutunza watoto, maana nikiangalia nyumba ambazo baba hayupo kuna kitu kinapungua kwa malezi ya watoto.
Acha nijitolee kusaidia mtoto walau mmoja akue akiwa anamuona father figure hata kama ni mara tatu kwa wiki.
kabisa Mkuu na Mungu atazidi kukubarikiNikiona post kama hizi huwa naingia moyo kuowa single mother ila wale wanaotukatisha tamaa na kututisha hawatopata nafasi kwetu, tuendelee kustiri wajane tupate thawabu kwa Mungu
Kwasote Mykabisa Mkuu na Mungu atazidi kukubariki