FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Technology imekuwa, watu wanaprint cake kwenye 3D printers, mi natafuta software ya kuprint pilau.., Mwenye nayo anijuze..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kwa kushiba pilau ukapiga na pichaTechnology imekuwa, watu wanaprint cake kwenye 3D printers, mi natafuta software ya kuprint pilau.., Mwenye nayo anijuze..
Ipakue hapa www.mpunyenye.comTechnology imekuwa, watu wanaprint cake kwenye 3D printers, mi natafuta software ya kuprint pilau.., Mwenye nayo anijuze..
Asante kwa kunikingia kifua brooPole jamaa, watu wanakutukana kwa kuwa hawaelewi maana ya 3d printing.
Ku print pilau pia inawezekana kwa kuwa so far waweza print vyakula kama pizza na burger. But itabidi hiyo pilau iwe na shape maalum inayoeleweka.
Natoa wito, wabongo tupende kujifunza, sio kupinga kila kitu.
![]()
![]()
Umeshakaa ukatafakari ukagundua mimi na wewe nani pimbi?Nilikua nakuona mtu mwenye staha kumbe na wewe ni pimbi hivi!
Jamaa alifikiria pilau ni Yale mambo ya mkwereUmeshakaa ukatafakari ukagundua mimi na wewe nani pimbi?