Mkuu inatakiwa ujue kitu kimoja kinaitwa “UMUHIMU”.by the way bei ya chungwa Tanga shambani ni 20/= best kabisa lile bora ni 50/=
Ninamaanisha hiyo bei ni kubwa sanaMkuu ndo maana nlisema maneno haya mwanzo “Kama wewe huko ulipo bei inalipa basi tushirikiane”.
Kwaiyo kama huko ulipo bei hiyo hailipi basi pita mbali.....
Morogoro upo sehemu gani mkuuPoleni na majukumu wana jf, Natafuta soko la Limao
Lengo la kuanzisha uzi huu ni kushirikiana na mdau yeyote.
Kama wewe huko ulipo bei inalipa basi tushirikiane na nna uwezo kukusanya tenga moja kwa siku lenye malimao 1,000 hadi 1,500.
Manunuzi :- Kuhusu bei ya kununulia kwa huku ni 50 tsh limao dogo na kubwa ni 100 tsh.
Natanguliza shukrani kwa wale wadau ambao hawatakuwa wachoyo wa kununyima ushirikiano ktk mchongo huu.
😆😆daahbei yako kubwa sana, ni bora unune tandale asu tandika upeleke huko moro.