HUNIJUI SIKUJUI
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 1,335
- 1,554
ukijumlisha na transport charges bei inatofautiana kulingana na location ulipo,ila primarily bei ni 500 kwa kilo,kabla ya kukamua hatukutoa maganda hvyo final product yake ni meusi minimum tutakuletea gunia 150 mpaka ulipomashudu yako bei gani ?
Na je ni hulled au dehulled (yaani kabla ya kukamua ulitoa maganda au maganda yalibaki)
final product yake ni rangi gani nyeusi au ?
Unaanza kuuza kuanzia kiwango gani ?
ndio mpaka uone mzigo ndio unipe pesa,mwishowe unaweza kuweka pesa na kutoa order mzigo ukiwa tayari unaletewa tuYes; akujibu. Tujue inakuwa! Na je anapata pesa akisha ni fikishia mzigo? Au
cheki reply za hapo juu mkuuNaitaji unauzaaje best