Natafuta Soko la mafuta ya alizeti

Natafuta Soko la mafuta ya alizeti

paudongo

Member
Joined
Apr 4, 2012
Posts
6
Reaction score
1
natafuta soko la mafuta ya alizeti ambayo nimeyapaki katika lita tano na ninauza kwa sh. 17,000. ni mafuta ambayo yamesajiliwa
 
natafuta soko la mafuta ya alizeti ambayo nimeyapaki katika lita tano na ninauza kwa sh. 17,000. ni mafuta ambayo yamesajiliwa

Unatumia lugha ya mkato katika kutangaza biashara. Hijaonyesha uko wapi, unapatinaje, mafuta unaweza supply kiasi gani ?
 
Back
Top Bottom