Natafuta soko la mbaazi

Natafuta soko la mbaazi

je parle

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2018
Posts
2,022
Reaction score
3,919
Habar wanajamiii.tuna tani zaidi ya 30 za mbaazi tunatafuta soko .Ni wapi tunaweza kuuza
Kama kuna mtu anamjua mnunuzi basi asisite kuwasiliana nami na mchakato kuanza punde.
 
Back
Top Bottom