F Faithful wife Member Joined Apr 7, 2012 Posts 18 Reaction score 1 Feb 24, 2014 #1 Ninatafuta mnunuzi/soko la mtama mweupe..nina tani 150. Ni pm kwa maelezo zaidi
M MAKULUGA JF-Expert Member Joined Jan 21, 2011 Posts 7,828 Reaction score 10,527 Feb 24, 2014 #2 Faithful wife said: Ninatafuta mnunuzi/soko la mtama mweupe..nina tani 150. Ni pm kwa maelezo zaidi Click to expand... HE MAELEZO YA BIASHARA TENA KWA PM MH! Ni Pm basi na mimi nikupe soko la uhakiaka!
Faithful wife said: Ninatafuta mnunuzi/soko la mtama mweupe..nina tani 150. Ni pm kwa maelezo zaidi Click to expand... HE MAELEZO YA BIASHARA TENA KWA PM MH! Ni Pm basi na mimi nikupe soko la uhakiaka!
CHASHA FARMING JF-Expert Member Joined Jun 4, 2011 Posts 7,872 Reaction score 9,263 Feb 24, 2014 #3 Huo mtama ni wa aina gani? make hata mitama myeupe nayo kuna aina, kuna ule wanao utumia TBL kutengenezea bia sina hakika kama ni huo make TBL huwa wana mbegu zao kabisa na wanazisambaza kwa wakulima wao wenyewe.
Huo mtama ni wa aina gani? make hata mitama myeupe nayo kuna aina, kuna ule wanao utumia TBL kutengenezea bia sina hakika kama ni huo make TBL huwa wana mbegu zao kabisa na wanazisambaza kwa wakulima wao wenyewe.