Natafuta soko la samaki sato na maziwa fresh ya ng'ombe

Natafuta soko la samaki sato na maziwa fresh ya ng'ombe

mubepi

Member
Joined
Apr 15, 2015
Posts
6
Reaction score
2
Habari zenu! mimi nipo dar es salaam nafanya shughuli ya ku-supply samaki sato wa Mwanza kilo sh 7,500/= nina supply kuanzia kilo 100 na kuendelea sio chini ya hapo.

Kwa maziwa fresh ya ng'ombe lita @1700 na yenyewe kuanzia lita 100 nakuletea hadi mlangoni, nina uwezo wa kusupply kwa jinsi atakavyotaka mteja iwe kila siku au kwa wiki n.k.

Karibuni sana namba yangu ni 0753036119
 
Back
Top Bottom