The Giant JF-Expert Member Joined Jun 24, 2012 Posts 504 Reaction score 96 Mar 24, 2014 #1 Kuna samaki aina ya Jodari, Changu, Tasi, Kibua, Chewa, Ngisi, Pweza, n.k Naombeni mnisaidie, ni hoteli au mgahawa gani na wananunua samaki aina gani hapa Dar? Ni vendors gani pia wanaonunua? Asante.
Kuna samaki aina ya Jodari, Changu, Tasi, Kibua, Chewa, Ngisi, Pweza, n.k Naombeni mnisaidie, ni hoteli au mgahawa gani na wananunua samaki aina gani hapa Dar? Ni vendors gani pia wanaonunua? Asante.
Governor of Bettors-GB JF-Expert Member Joined Jul 14, 2013 Posts 10,568 Reaction score 9,710 Mar 24, 2014 #2 Weka bei ya Jumla kwa kilo
Ginner JF-Expert Member Joined May 8, 2011 Posts 1,532 Reaction score 2,065 Mar 24, 2014 #3 Natafuta kaa,kamba na kamba koche..kama unao ni pm kiasi unachoweza kusupply kwa siku.