Kilo si nilisikia milioni moja na wahindi wanakufaten hukohuko shamba?Hello naomba kwa anaejua biashara ya vanilla... naitaji soko, naombeni msaada wenu [emoji120] please.View attachment 2811353View attachment 2811354
Sisi atuwaoni mbn hao wa million 1... wanaokuja ni wa laki wanadidimiza wakulima.... natumaini kutakuwa na sehemu ya kupeleka hao wanaokuja shamba atuwataki... tunatafuta soko wenyew, tumelima kwa vikundi wakichukuwa kwa laki aitunufaishi kwa chochote[emoji119]Kilo si nilisikia milioni moja na wahindi wanakufaten hukohuko shamba?
Uko mkoa Gani, mna kilo ngapi nianze kukagua masoko huku darSisi atuwaoni mbn hao wa million 1... wanaokuja ni wa laki wanadidimiza wakulima.... natumaini kutakuwa na sehemu ya kupeleka hao wanaokuja shamba atuwataki... tunatafuta soko wenyew, tumelima kwa vikundi wakichukuwa kwa laki aitunufaishi kwa chochote[emoji119]