Ninatatizo la Bp ya kupanda na natumia dawa za presha. Tatizo linalonisumbua ni uwezo wa kusikia umepungua na uwezo wa kunusa nao umepungua vilevile nasikia mvumo wa kelele kwenye sikio naombeni msaada wapendwa
Ninatatizo la Bp ya kupanda na natumia dawa za presha. Tatizo linalonisumbua ni uwezo wa kusikia umepungua na uwezo wa kunusa nao umepungua vilevile nasikia mvumo wa kelele kwenye sikio naombeni msaada wapendwa