Natafuta Specialist pua masikio na koo

mwanadube

Member
Joined
Jan 9, 2015
Posts
79
Reaction score
21
Ninatatizo la Bp ya kupanda na natumia dawa za presha. Tatizo linalonisumbua ni uwezo wa kusikia umepungua na uwezo wa kunusa nao umepungua vilevile nasikia mvumo wa kelele kwenye sikio naombeni msaada wapendwa
 
Ninatatizo la Bp ya kupanda na natumia dawa za presha. Tatizo linalonisumbua ni uwezo wa kusikia umepungua na uwezo wa kunusa nao umepungua vilevile nasikia mvumo wa kelele kwenye sikio naombeni msaada wapendwa

nenda muhimbili jitengo cha ENT, au nenda AAR Tabata Jumanne au Jmosi utsmkuta specialist wa ENT
 
Ekenywa Hospital, Magomeni mwembechai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…