teddy isaac
New Member
- Jun 4, 2012
- 4
- 0
tulianzisha kampuni mimi na mwenzangu, ilikuwa inajishughulisha na utengenezaji wa magizene pia tulikuwa tunataka kufanya tv show, kuandaa documentary na drama. Tulipata mfadhili lkn kabla hatujafika popote yule mfadhili alipata matatizo 2kashindwa kuendelea,, sasa tunachohitaji ni mfandhili atakayeweza kufinance project zetu na tutaingia nae mkataba kujua tatafaidika vipi, na atakayeweza kututafutia mfadhili either tunasajili kampun upya na kuwa wamiliki watatu or 2naingia nae mkataba anakuwa anapata percent kadhaa ya faida, aliyetayari anicheki kwny +255762234236, asanteni na cku njema.