Natafuta sports academy

Natafuta sports academy

mpwakimeo

Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
91
Reaction score
59
Kuna kijana wangu yuko kidato cha tatu. Anapenda sana kucheza mpira na anacheza vizuri. Kila nikikaa nae nikimuuliza anatamani kufanya nini katika maisha yake, anasema anataka kucheza soka.
Sasa nimeona ni vizuri kumuunga mkono kuliko kumlazimisha abadili muelekeo.
Kama Kuna mtu anazifahamu academy za mpira wa miguu hapa Tz hasa Mwanza, naomba anipe taarifa zake na namna ya kujiunga na hizo academy.
Pia kama una ushauri mwingine wa namna ya kumuendeleza katika soka, nitashukuru pia.
 
Kuna kijana wangu yuko kidato cha tatu. Anapenda sana kucheza mpira na anacheza vizuri. Kila nikikaa nae nikimuuliza anatamani kufanya nini katika maisha yake, anasema anataka kucheza soka.
Sasa nimeona ni vizuri kumuunga mkono kuliko kumlazimisha abadili muelekeo.
Kama Kuna mtu anazifahamu academy za mpira wa miguu hapa Tz hasa Mwanza, naomba anipe taarifa zake na namna ya kujiunga na hizo academy.
Pia kama una ushauri mwingine wa namna ya kumuendeleza katika soka, nitashukuru pia.
Sahivi watoto wanadanyana sana wanataka maisha rshisi me nna watatu nawajua wamegoma shule wanataka kucheza mpira mmoja wa kidato 5 na wengine 6 na 2
 
Sahivi watoto wanadanyana sana wanataka maisha rshisi me nna watatu nawajua wamegoma shule wanataka kucheza mpira mmoja wa kidato 5 na wengine 6 na 2
Mpeleke shule za michezo uko ata elimu ya darasani wanafundisha pia.
 
Juventus sports academy ipo masaki...

Nenda HOPAC wanazo, nenda IST wanazo...


Cc: Mahondaw
 
Back
Top Bottom