Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wanaJF. Bado natafuta mtu anayeuza samaki(Sato & Sangara) kwa bei ya jumla Dar es Salaam. Nataka fungua bucha ya samaki. Plz kama uko Dar tuwasiliane kwa namba hii 0769141105. Asante
kwa anaye hitaji sato toka mwanza bei ya jumla 7300tsh na sangara 5600tsh nakuletea mpaka mlangoni kwa sasa nimebase na wateja wa dar es salaam tuu.
kwa anaye hitaji sato toka mwanza bei ya jumla 7300tsh na sangara 5600tsh nakuletea mpaka mlangoni kwa sasa nimebase na wateja wa dar es salaam tuu.
bei ya kilo 1Hii ni bei ya kilo au ya samaki mmoja??
Mkuu mi nausika na uchinjaji na usambazaji wa nyama ya ngombe ukihitaji tuwasiliane 0783 772809
bei ya kilo 1
kiwango cha chini ni kilo 100 kwa maelezo zaidi piga namba 0753036119mkuu kiwango cha chini ni kilo ngapi
samahani kiwangocha chini ni kilo 100 hiyo ni kwa jinsi utakavyotaka mteja kama ni kila cku au kwa wiki wiki au kwa kila baada ya cku 1,2,3....nk kwa mawaciliano zaidi namba ni 0753036119 karibu.Mkuu nimeku PM. Unauza kila siku au siku moja moja. Naweza kupata sato kilo 10? Tuwekee namba yako ya simu hapa kwa mawasiliano zaidi.