Natafuta Suzuki Escudo,5D

Rugas

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2009
Posts
1,048
Reaction score
197
Wakuu habari za kazi,
Kuna ndugu yangu anatafuta gari ya kununua,Suzuki Escudo 5d,Ataitumia kijijini,(hali ya barabara sio nzuri sana) ,Kwa hali hiyo anataka iwe na hali nzuri,isiwe imetembea zaidi ya km 120,000...na isiwe imetumika nchini zaidi ya miaka mitatu.Mwenye dili hili tuwasiliane...kwa email frugas78@gmail.com ,picha na details ni muhimu.
Bei isizidi 7.5m
Thanks.
 

Escudo huwezi pata kwa 7.5m, may be kama utanatafuta used TZ. Kuna rafiki yangu anauza yake kwa 6.5m kaitumia miaka 3 Km ni 110.
Kama unataka Mpya (used Japan) si chini ya 9m mzee Mwambie jamaa aongeze pesa. nakurushia email
 
Mimi ninayo kama umeshindwa tembelea www.magaribeipoa.com Nauza 13M mpya kam upo seriously ila kwa bei uliyoitaja utapata gari hata miezi sita hulifikishi(kimeo) tena usithubutu hata kidogo kuninua kwa bei yako. Nunua kwa 13M mpaka 11M hiyo utapata gari nzuri haina mwaka, Ukitaka kwa bei 10M mpaka 8M utapata gari ya miaka miwili kutumia Bongo(Ambayo ni kimeo) na 7M mpaka 5M utapata kari ya miaka Mitatu kutumika bongo ambayo hufikishi miezi sita unashusha Engine na Ukitaka la 4M mpaka laki moja utapata gari la mwezi mmoja bora umenunua gari unaendasha mnwezi ukiisha ulipaki ujua ndo kwishne. USHAURI Nunu gari la 13M mpaka 11M utapata gari nzuri wewe mwenyewe utafurahi sana kuhusu choice yako ya gari. Asante Mwana JF:target:
 
man kama upo serious contact me on 0784296443.
 

Asante kwa ushauri mkuu...Hiyo gari ni ya ndugu yangu...nitamfikishia ujumbe.....kuna mtu ametuletea Mitshubishi GDI,ina mwezi mmoja Bongo,na imesajiliwa,ina bima(sio comphensive) imetembea 80,000km ya 1997...na anataka 8M,naona ina size ya Escudo,lakini kwa uimara na mengine sijuhi...unatushaurije mkuu...
 
Kama unataka Mpya (used Japan) si chini ya 9m mzee Mwambie jamaa aongeze pesa

Vp akiongeza mpaka 9M unaweza kusaidia kupata,one from Japan?
 


Nakushauri usinunue kwani inamtingo wa kuunguza Gasget no UTALIA USINUNUE KWANINI ANAUZA BEI HIYO WAKATI JAPANI NI DOLA 4500 MPAKA BONGO HUJAISAJILI WEWE FIKIRIA KWANZA RAHISI GHALI :angry:
 

Mimi ninayo tena nzuri utaipenda Bei 11M haishuki ni mpya ina miezi sita tokea iwe bongo mshkaji anaitumia. nipe namba nikukwangie sawa Rugas
 
Nakushauri usinunue kwani inamtingo wa kuunguza Gasget no UTALIA USINUNUE KWANINI ANAUZA BEI HIYO WAKATI JAPANI NI DOLA 4500 MPAKA BONGO HUJAISAJILI WEWE FIKIRIA KWANZA RAHISI GHALI

Poa mkuu,i will take that in consideration....Thanks
 
Mimi ninayo tena nzuri utaipenda Bei 11M haishuki ni mpya ina miezi sita tokea iwe bongo mshkaji anaitumia. nipe namba nikukwangie sawa Rugas

Mkuu bei hiyo inatisha...sidhani km mshikaj ataweza kupata hiyo amount....
let us think on it...
 
Vp mkuu bado hujapata?
Mwambie akusanye kusanye anunue mpya tu.
 
Mkuu bei hiyo inatisha...sidhani km mshikaj ataweza kupata hiyo amount....
let us think on it.
..


Unataka nini RUGAS kwani Jamaa kafika hiyo mwambie best yako achukue kwani mimi Nakushauri Prisoner mimi namjua aleti utani kwa mambo ya biashara. ok HIYO ICHUKUE FASTER MWAMBIE HATA 10.5M :yuck:
 
kwa nini usigize Japan? mambo mengine ni very simple waka huhitaji kuanza kubagain na mtu.

Agiza mwenyewe fanya mahesabu mpaka kuitoa bandarini, na makorokoro mengine. Usisahau kupiga hesabu ya kuitoa huku dar mpaka huko kijijini. Unaweza ona 7.5 ni nyingi kumbe kwa kitu unachotaka ni kidogo sana.

Enjoy!
 
Uwe makinina hao wanaotaka kukuuzia. Wengi ni matapeli sana. Kusanya mshiko zaidi kidogo utapata kutoka japani
 
Au endelea kuuliza na utafute mtaalamu ili mtu akikuita ukatazame gari analotaka kukuuzia lipoje? Lipo katika hali gani usije kuchukua kimeo. Kuna watu wanayapaka rangi siku hizi.
 

Ninalo Escudo 1.6, imetembea Km 128,000, Manual, Model ya 1993. Nimeiagiza kutoka Japan mwaka 2008 Novemba. Bei ni 9.5 M, lina hali nzuri na nimewahi kusafiri nalo safari za mbali mara mbili; Arusha- Ngara, Arusha Kigoma (zote kwenda na kurudi bila kuongeza oil wala maji). Halijawahi kufanyiwa matengenezo makubwa yoyote ila service za kawaida na kubadilisha shock ups.
 
chakua sasa pa kufia nimekwambia Prisoner haleti utani kwenye Biashara unataka kukimbia usikimbie bei nenda kalione hata Mimi nilishakwambia ninayo. sasa RUGAS Chakua Pa kufia kwa Prisoner hapo umepata
 

thanks mkuu kwa ushauri mzuri.Ndo naangalia uwezo huo....tatizo sasa hivi dola inapaa km ndege...inafanya importation iwe ghali kidogo.hata hivyo bado naendelea kutafuta.Hatuna haraka sana.Taratibu najua kwa msaada wa Mungu tutapata kitu kizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…