Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta (Ngo)taasisi za kulelea watoto yatima au walemavu zilizopo hapa Dar es Salaam, lengo kubwa kutoa msaada, anayezifahamu anielekeze tafadhali ikiwezekana anipatie hata mawasiliano yao.
Habari wadau,kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta (Ngo)tasisi za kulelea watoto yatima au walemavu zilizopo hapa Daressalaam,lengo kubwa kutoa msaada,anayezifahamu anielekeze tafadhali ikiwezekana anipatie hata mawasiliano yao, asanteni.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta (Ngo)taasisi za kulelea watoto yatima au walemavu zilizopo hapa Dar es Salaam, lengo kubwa kutoa msaada, anayezifahamu anielekeze tafadhali ikiwezekana anipatie hata mawasiliano yao.
Morogoro njia mazimbu iko moja ya watoto walemavu hasa shida ya Akili..nilitaka kulia .. ntakupa contact zao ...Mie nilienda kuwapa chochote ambacho Mungu kanipa0778 500 239 Mr Elia mlezi wa kituo