Omunga gpa c ki2,ki2 network!kuna dogo 2memaliza nae,ana 2.3 kaunganishiwa crdb ya udsm,wachache wenye gpa wamepata,ucpanic 2tapata 2,ila geuza sura na upande wa ujasiriamali bra!
Dah kazi ngumu this days....Kuna mwingine yuko ukui ameamua kuwa security...tena wa kwenye post za mitaroni.....na B.COM mkononi...toka amamemaliza alikuwa anasoma akiwa polisi...jeshi halijampandisha wala kumtambua...jamani..sytems hizi.
Unakujata boss wako ni f4 tu sasa wewe una B.COM..utapita wapi....duuu...