Consider it done, Kuna kijana yupo ata kufaa.Wakuu umofia kwenu.
Jamani natafuta Toyo kwa ajili ya kusambaza bidhaa, iwe mpya au used kwa ajili ya kukodi au rental purchase, tutakubaliana kwenye mkataba.
Kama ana mtu wake anaemuamini atapewa daily allowance plus monthly salaries, mradi awe anajua kuchakarika.
Biashara inafanyika Dar.
Yeyote mwenye nayo tafadhali tuwasiliane Whatsapp only +255716715722 .
Miyeyusho hioSema Cannabis si una boda wewe?
Miyeyusho nini!, hiyo issue ya usambazaji au?Miyeyusho hio
baridi, namcheki kijana aki ridhika ata kucheki.5000 daily plus Ful tank enough kwa kila week
Atapata na Salary ambayo ni negotiable
Baridi, ana taka wa dar.Ipo sema mimi nipo Chuga