Natafuta Toyota Landcruiser Pickup

Natafuta Toyota Landcruiser Pickup

Masikini_Jeuri

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2010
Posts
6,829
Reaction score
1,303
Zinahitajika pickup mbili Toyota Landcruiser; zenye engine ya 1HZ au 1KZ. Ziwe katika hali nzuri Bei at most 18m Tshs.
 
Zinahitajika pickup mbili Toyota Landcruiser; zenye engine ya 1HZ au 1KZ. Ziwe katika hali nzuri Bei at most 18m Tshs.

Bila shaka utapata, kuna dalali hapa JF anaitwa Mhe. Kitomai, huwa ni muuzaji maarufu wa magari online, hasa JF.
Sasa hivi anakuja!

All the best!
 
Bila shaka utapata, kuna dalali hapa JF anaitwa Mhe. Kitomai, huwa ni muuzaji maarufu wa magari online, hasa JF.
Sasa hivi anakuja!

All the best!

Huyu jamaa yuko vizuri kuhakikisha mtwangie kwenye no.0717114409. hii ni No. ya kazi so sioni ubaya kuanika hapa.
 
Unataka USED au Brand New na hiyo bei ni FOB au CIF to Dar port
 
used; brand new siwezi ziwepo hapa nchini ! na ikiwezekana kusiwepo mizengwe ya duties; lakaini hata zenye duties tuongee bei.

Asanteni wadau.
 
Back
Top Bottom