homomorphism
Member
- Feb 12, 2017
- 66
- 63
2490 CC ni kama gar gan boss wangu, kam una connection nambie.Passo ya million 3 lazima iwe mbovu, labda wewe na bahati yako.... ila gari ya engine kubwa kuanzia 2,490CC unaweza kupata kwa hiyo bei na ikawa kwenye hali nzuri tu.
Anakudanganya huyo2490 CC ni kama gar gan boss wangu, kam una connection nambie.
Natamani nipate passo ya piston 4 nasikia zinakua nzuri zaidiAnakudanganya huyo
DodomaUpo wapi?
Du! io ipoje mzeeNjoo Nina passo ya million 1
Passo mil 3 ukipata wajanja unadunda kitaaWaungwana natafuta mtu anaeuza Passo bajet yangu Mil 3.
Nyingi Ni brevis2490 CC ni kama gar gan boss wangu, kam una connection nambie.
Hizi hapanaNyingi Ni brevis
Ungekuwa Dar kwa hiyo bei una pata Ila namba cHizi hapana
Sio tatizo Dom to DSM mbona sio mbali sana tena itakua ndio testing nzur ya gari ikitoboa adi Dodoma bila shida yeyote io ipo vizur.Ungekuwa Dar kwa hiyo bei una pata Ila namba c
Nyingi Ni brevis
Livamieee ndo utaelewaa show[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizi gari ziko poa sana speed+power+appearance & stability ajabu watu wanazikimbia eti zinakula mafuta sana swali kuna gari inayokula mkate?
Ulaji mkubwa wa mafutaHizi gari ziko poa sana speed+power+appearance & stability ajabu watu wanazikimbia eti zinakula mafuta sana swali kuna gari inayokula mkate?
Livamieee ndo utaelewaa show[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijui labda kwa Dar ni kipengele sababu gari speed ndogo na foleni kibaoo ila Huki watu wanazikimbia sanaa... Brevis kali unakuta mil 4Ndo gari yangu ya kwanza sikuona shida yeyote