Hii unapata bila wasi wasi mkuuSio tatizo Dom to DSM mbona sio mbali sana tena itakua ndio testing nzur ya gari ikitoboa adi Dodoma bila shida yeyote io ipo vizur.
Brevis 5mMkuu hauvuliki hii brevis
[emoji90]Pamoja na hayo ila Passo haifik mil7 kwa mtu, iyo ni bei ya passo 2 kaka. Shida madalali wanataka watatu matatizo yao yote kwa ela ya mteja mmoja.
Brevis 5m
Mm Nina 3milBrevis 5m
Hii ipo reserved kwa safari mkuu.... ila kama ukihitaji wapo watu wanaweza kufanikisha jambo lako.Mkuu hauvuliki hii brevis
Mwanza wamechafukwaNimeona nikusogezee ushindwe mwenyewe tu
Hivi siwez pata PASSO namba D kweliMwanza wamechafukwa
[emoji16][emoji16][emoji16]Livamieee ndo utaelewaa show[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]