Sijakuelewa!!
Nijuavyo hizi gari ni nzuri sana kwa fuel consumption.
Watu hawazipendi tu coz ile milango yake miwili inafunguka kama dala dala.
ila kwa hapa mjini iko biyee sana(FUEL & PARKING SPACE)
Analyst waweza check na kitomai. Google hilo jina then you will be directed to his post here, and many of them have got his mobile No.