Habari wana Jf Nimechaguliwa kujiunga na shahada ya Elimu chuo cha SUA sasa natafuta mtu wa kunidhamini kulipa Ada pee kwa Mwaka wa kwanza ambayo ni Milion moja na laki mbili na elfu sitini na tatu. 1,263,000/= mwenye kunisaidi napatikana kwa namba 0773422526. Nipo serious kumbuka elimu ndiyo mkombozi. Tukiwasiliana utaratibu mwingine tutauongea.