Natafuta upupu unaowasha wa kununua ili kudhibiti vibaka

Nyaka-One

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2013
Posts
4,730
Reaction score
6,736
Nina biashara yangu mahali na inaonekana vibaka ndiyo wanaweza wakanirudisha nyuma nisipochukua hatua yoyote kuwadhibiti. Nimeona pamoja na hatua nyingine nitakazochukua kuwadhibiti njia nyingine ni kuweka upupu eneo ambalo vibaka wanaweza kupita. Nahitaji kama debe mbili au tatu za huo upupu. Kwa mwenye info tuwasiliane inbox.

Pia ningependa kujua upupu kama huo ukitegwa sehemu unaweza kukaa muda gani kabla nguvu yake ya kufanya kazi haijapungua?
 
Nenda kijijini mkuu Dawa zipo za kuzuia wahuni hao, wewe waone wazee watakusaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…