Elections 2010 Natafuta URAIA wa Botswana, Ghana , US , Uswisi au Australia (OCT 31)

Elections 2010 Natafuta URAIA wa Botswana, Ghana , US , Uswisi au Australia (OCT 31)

Moseley

Senior Member
Joined
Jul 10, 2010
Posts
187
Reaction score
98
Habari ndugu zangu!

Napenda kuweka wazi kuwa sina haja ya kuendelea kuitwa Mtanzania kama chama tawala cha sasa kitaendelea kushika hatam oct 31..

Kwa maana hiyo, sina haja ya kujivunia kuwa mie ni mtanzania, wakati mambo yanakwenda hovyo..

Sababu:

1. Chama tawala kinatumia ujinga wa watanzania kama mtaj wa kutawala milele..

2. Chama hicho hicho hakifanyi juhudi ya kuwapa elimu watu wake kwa maana wanatambua fika kuwa wananchi wakipata elimu hawatakubali kutawaliwa HOVYO na chama hicho..

3. Chama hicho hicho kinamiliki jeshi, mahakama na kimekuwa kikiendelea kuwa na wabunge wengi ambao wapo pale kwa matumbo yao....

4. Chama hicho hicho kinamiliki rasilmali nyingi kuliko vyama vingine, kiasi kwamba hakuna ushindani sawa wa kisiasa, kwa maana hiyo hakuna Demokrasia ya kweli... Kwa hili nachelea kutoa lawama kwa baba wa taifa ya kwamba kwa nini HAKUIPASUA CCM kabla hajaondoka



Tulitegemea kulikoa taifa kwa nguvu ya umma, Ila hatujaweza kuwaelimisha watu kiasi cha kutosha kutokana na rasilimali chache zilizopo kwa wanaharakati na nyingi kuegemea upande wa chama tawala ambacho hakitaki elimu ipatikane kwa wananchi.. Maana wananchi wakiwa na elimu, utawala huo utakufa...

Kutokana na maneno hayo natangaza rasmi kuanzia tarehe 31 oct, nisiitwe mtanzania kwa maana sina cha kujivunia..

Na kwa maana hiyo naomba watu wanaoweza kunisaidia kupata uraia wa Botswana, Ghana , US , Uswisi au Australia wanisaidie.. Hata kama huko nako kutakuwa na matatizo, naamini sio kama ya hapa kwetu nyumbani

Shukrani
 
Kuna siku nilikuwa Malawi ilibidi niwe mpole pale nilipokutana na watu ambao wandhani Tz hatuna viongozi.Nilikuwa golf club pale Mzuzu yaani watu waliichambua Tz na uozo wake mpaka nkawa mdogo.
Mwaya all the best
 
Habari ndugu zangu!

Napenda kuweka wazi kuwa sina haja ya kuendelea kuitwa Mtanzania kama chama tawala cha sasa kitaendelea kushika hatam oct 31..

Kwa maana hiyo, sina haja ya kujivunia kuwa mie ni mtanzania, wakati mambo yanakwenda hovyo..

Sababu:

1. Chama tawala kinatumia ujinga wa watanzania kama mtaj wa kutawala milele..

2. Chama hicho hicho hakifanyi juhudi ya kuwapa elimu watu wake kwa maana wanatambua fika kuwa wananchi wakipata elimu hawatakubali kutawaliwa HOVYO na chama hicho..

3. Chama hicho hicho kinamiliki jeshi, mahakama na kimekuwa kikiendelea kuwa na wabunge wengi ambao wapo pale kwa matumbo yao....

4. Chama hicho hicho kinamiliki rasilmali nyingi kuliko vyama vingine, kiasi kwamba hakuna ushindani sawa wa kisiasa, kwa maana hiyo hakuna Demokrasia ya kweli... Kwa hili nachelea kutoa lawama kwa baba wa taifa ya kwamba kwa nini HAKUIPASUA CCM kabla hajaondoka



Tulitegemea kulikoa taifa kwa nguvu ya umma, Ila hatujaweza kuwaelimisha watu kiasi cha kutosha kutokana na rasilimali chache zilizopo kwa wanaharakati na nyingi kuegemea upande wa chama tawala ambacho hakitaki elimu ipatikane kwa wananchi.. Maana wananchi wakiwa na elimu, utawala huo utakufa...

Kutokana na maneno hayo natangaza rasmi kuanzia tarehe 31 oct, nisiitwe mtanzania kwa maana sina cha kujivunia..

Na kwa maana hiyo naomba watu wanaoweza kunisaidia kupata uraia wa Botswana, Ghana , US , Uswisi au Australia wanisaidie.. Hata kama huko nako kutakuwa na matatizo, naamini sio kama ya hapa kwetu nyumbani

Shukrani

All the best mkuu
Mi mwenyewe nimechoka kweli
 
mimi pia thithiem ikichakacha matokeo nahamia soth africa
 
Huna haja ya kuhama/kukimbia nchi kwani CCM hawashindi..
 
Hakuna haja ya kukimbia wala kukata tamaa safari ni ndefu lakini tutafika,uwe na moyo mkuu, ujasiri,ushujaa na uhodari.
Maana nchi hii ndio aliyokupa Muumba wako uitawale na kuimiliki.

Siku yakuondoka Wafilisti na mkuu wao(goliatre) kukatwa kichwa na Daudi ipo, hata kama sio 31 oct, si unajua Farao lazima aone ishara na maajabu mengi ndipo awaachie wana wa Watanzania?
 
Habari ndugu zangu!

Napenda kuweka wazi kuwa sina haja ya kuendelea kuitwa Mtanzania kama chama tawala cha sasa kitaendelea kushika hatam oct 31..

Kwa maana hiyo, sina haja ya kujivunia kuwa mie ni mtanzania, wakati mambo yanakwenda hovyo..

Sababu:

1. Chama tawala kinatumia ujinga wa watanzania kama mtaj wa kutawala milele..

2. Chama hicho hicho hakifanyi juhudi ya kuwapa elimu watu wake kwa maana wanatambua fika kuwa wananchi wakipata elimu hawatakubali kutawaliwa HOVYO na chama hicho..

3. Chama hicho hicho kinamiliki jeshi, mahakama na kimekuwa kikiendelea kuwa na wabunge wengi ambao wapo pale kwa matumbo yao....

4. Chama hicho hicho kinamiliki rasilmali nyingi kuliko vyama vingine, kiasi kwamba hakuna ushindani sawa wa kisiasa, kwa maana hiyo hakuna Demokrasia ya kweli... Kwa hili nachelea kutoa lawama kwa baba wa taifa ya kwamba kwa nini HAKUIPASUA CCM kabla hajaondoka



Tulitegemea kulikoa taifa kwa nguvu ya umma, Ila hatujaweza kuwaelimisha watu kiasi cha kutosha kutokana na rasilimali chache zilizopo kwa wanaharakati na nyingi kuegemea upande wa chama tawala ambacho hakitaki elimu ipatikane kwa wananchi.. Maana wananchi wakiwa na elimu, utawala huo utakufa...

Kutokana na maneno hayo natangaza rasmi kuanzia tarehe 31 oct, nisiitwe mtanzania kwa maana sina cha kujivunia..

Na kwa maana hiyo naomba watu wanaoweza kunisaidia kupata uraia wa Botswana, Ghana , US , Uswisi au Australia wanisaidie.. Hata kama huko nako kutakuwa na matatizo, naamini sio kama ya hapa kwetu nyumbani

Shukrani

Subutuu! Nani kakwambia CCM itashinda?
 
tupeni kura zenu CHADEMA then mujiandae kwenda maana mimi nipo sana mpaka kielewekeee haiwezekani wachakachua mpaka pumba lohhh
 
hapo oct31 patakuwa padogo sana mwaka huu
hatudanganyiki
 
Badala ya kukimbia nchi, kuwa tayari kuutoa uhai wako kwa ajili ya ukombozi wa nchi yako..
 
Back
Top Bottom