Achana na upuuzi wa star times. They are hopeless, si vizuri ukawadhulumu wanasongea kwa low quality TV services. Acha hiyo kitu kama hutaki kuhukumiwa na mungu.
Kama wewe ni CCM go ahead..........lakini ni upuuzi mtupu huo. Hawa ndio wanaotupa umaskini na kuchukua ajira za wamachinga maana wachina wote wanakuja kupitia star times.