Natafuta uzoefu wa kuuza spea za magari, pikipiki au bajaji

Ngulutu

Member
Joined
Apr 11, 2022
Posts
29
Reaction score
25
Habari zenu wakuu!

Nipo kwenye mchakato wa kujifunza hii biashara, mbinu ninayotaka kuitumia ni kupata sehemu yaani duka linalouza spea za magari, pikpik au bajaj.

Kama kuna mtu anafursa hiyo na ananafasi tuwasiliane. Nipo kahama kwa sasa.

Asanteni.
 
Habari zenu wakuu!

Nipo kwenye mchakato wa kujifunza hii biashara, mbinu ninayotaka kuitumia ni kupata sehemu yaani duka linalouza spea za magari,pikpik au bajaj.
Kama kuna mtu anafursa hiyo na ananafasi tuwasiliane
nipo kahama kwa sasa

Asanten
Kila lakheri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…