Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,107
- 1,012
Poleni na kazi na majukumu ya kutafuta riziki. Jamani mwanangu ana matege nimetumia dawa za vitamini D lakini bado sioni mabadiliko ana miaka miwili sasa.
Je, wapi nitapata viatu vya kunyoosha miguu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Je, wapi nitapata viatu vya kunyoosha miguu?
Sent using Jamii Forums mobile app