Natafuta vyumba/chumba cha kuishi - Kinondoni

Natafuta vyumba/chumba cha kuishi - Kinondoni

Masika

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2009
Posts
723
Reaction score
30
HABARI!

NAHITAJI CHUMBA AU MASTA, SEBULE NA JIKO MAENEO YA KINONDONI (Kanisani, B, Manyanya, Mkwajuni au Hananasif) kuanzia leo mpaka 15/7.

Kusiwe na wapangaji zaidi ya mmoja na ikiwezekana niwe peke yangu! NAWEZA KULIPA KODI MPAKA TZS150,000 KWA MWEZI KULINGANA NA UBORA WA NYUMBA NA ENEO-PIA, KUSIWE MBALI NA BARABARA - GARI LIWEZE KUPITA !

MWENYE KUFAHAMU AU MWENYE NAYO ANI PM AU NIPIGIE KATI YA 6AM-9PM NA 8PM-11PM 0713473166
 
Back
Top Bottom