Jamani wanajamvi.
Mimi kijana miaka 30.Elimu ya chuo kikuu,natafuta mpenzi humu ndani,awe miaka 22-29. Mweupe au maji ya kunde,sio mnene sana au mwembamba.dini awe mkristo.
Jamani wanajamvi.
Mimi kijana miaka 30.Elimu ya chuo kikuu,natafuta mpenzi humu ndani,awe miaka 22-29. Mweupe au maji ya kunde,sio mnene sana au mwembamba.dini awe mkristo.
Weweee! hebu set upya tangazo lako wewe ni kijana wa kike au wa kiume, maana watu tunataka kuanza kurusha mashairi yetu na kamwe mtu huwa hatoki sasa yasije kukuta makubwa kama wewe sio bint. kweli mitaala hamna (by mbatia) we ndio chuo kikuu?