Natafuta wadau wa kushirikiana kwa kuanzisha kampuni ya magazeti.

Natafuta wadau wa kushirikiana kwa kuanzisha kampuni ya magazeti.

MTOTO KITAA

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2013
Posts
245
Reaction score
115
wadau habar zenu ninawazo la kuanzisha kampuni ya magazet hapa dar. nimefanya utafiti nimegundua inalipa sana, so inaitajika mtaji wa kuanzia ni milion tano na kuendelea, naomba vijan watano tu ambali wako tayari take risk ya kuanzisha magazet. kila mmoja wet awe na one milion na hata kama tukishindwa bas tuwe na kianzio na tutachanga mawazo ya kupata mtaji wa kuongezea kwa kwenda kwa wadau au benk. nipo serious hii inshu wadau, kwan tutajiari na kuajir wenzet. huu mchanganuo wa juu juu copy 10000 all cost @copy 400 benefit @copy 50 nitauza kwa jumla ni 450@copy muujaz reja reja 500@copy. faida nitakayoipata 50 times 10000=500000@day 500000 times mwezi 30=15000000 nb: tutaanza na gazet ya udaku na michezo. kwan ndio yanauzika sana kutokana na takwimu za bongo. kama upo tayari naomba uniambie na kumbuka lazima tupate hali ngumu mwanzon. niko serious washikaji, tujitoe tujiajir na tuajir wana. asanten
 
wadau habar zenu ninawazo la kuanzisha kampuni ya magazet hapa dar. nimefanya utafiti nimegundua inalipa sana, so inaitajika mtaji wa kuanzia ni milion tano na kuendelea, naomba vijan watano tu ambali wako tayari take risk ya kuanzisha magazet. kila mmoja wet awe na one milion na hata kama tukishindwa bas tuwe na kianzio na tutachanga mawazo ya kupata mtaji wa kuongezea kwa kwenda kwa wadau au benk. nipo serious hii inshu wadau, kwan tutajiari na kuajir wenzet. huu mchanganuo wa juu juu copy 10000 all cost @copy 400 benefit @copy 50 nitauza kwa jumla ni 450@copy muujaz reja reja 500@copy. faida nitakayoipata 50 times 10000=500000@day 500000 times mwezi 30=15000000 nb: tutaanza na gazet ya udaku na michezo. kwan ndio yanauzika sana kutokana na takwimu za bongo. kama upo tayari naomba uniambie na kumbuka lazima tupate hali ngumu mwanzon. niko serious washikaji, tujitoe tujiajir na tuajir wana. asanten

mkuu fanya kama kupunguza dau.
mm nitakuwa 1 wapo fanya nusu yake na watu kama vipi waongezeke.
mtazamo wangu mkuu
 
Ningependa kujua kwann umezidisha mara 30?...una maanisha gazeti litauzwa kila siku na kutoka/kuchapwa kila siku?.Anyway its a good idea imenivutia and I hope wadau watajitokeza taratibu taratibu usivunjike moyo.
 
wadau habar zenu ninawazo la kuanzisha kampuni ya magazet hapa dar. nimefanya utafiti nimegundua inalipa sana, so inaitajika mtaji wa kuanzia ni milion tano na kuendelea, naomba vijan watano tu ambali wako tayari take risk ya kuanzisha magazet. kila mmoja wet awe na one milion na hata kama tukishindwa bas tuwe na kianzio na tutachanga mawazo ya kupata mtaji wa kuongezea kwa kwenda kwa wadau au benk. nipo serious hii inshu wadau, kwan tutajiari na kuajir wenzet. huu mchanganuo wa juu juu copy 10000 all cost @copy 400 benefit @copy 50 nitauza kwa jumla ni 450@copy muujaz reja reja 500@copy. faida nitakayoipata 50 times 10000=500000@day 500000 times mwezi 30=15000000 nb: tutaanza na gazet ya udaku na michezo. kwan ndio yanauzika sana kutokana na takwimu za bongo. kama upo tayari naomba uniambie na kumbuka lazima tupate hali ngumu mwanzon. niko serious washikaji, tujitoe tujiajir na tuajir wana. asanten

Vipi mradi umeshaanza tayari
 
warumi fursa hii njoo uchangamkie binamu yangu maana najua utabamba mbaya!
 
Last edited by a moderator:
warumi fursa hii njoo uchangamkie binamu yangu maana najua utabamba mbaya!

Dah yaani apa naona kama kanilenga mimi, hakyanani binamu apa ndo penyewe,lazima tukamate fursa twenzetu
 
Last edited by a moderator:
Dah yaani apa naona kama kanilenga mimi, hakyanani binamu apa ndo penyewe,lazima tukamate fursa twenzetu

Umeona eeeh...changamkia fasta hii si ya kukosa... huwa sinunui gazet but will be buying
 
MTOTO KITAA.
Ukuje utuambie hii plan iliishiwa wapi?
 
Last edited by a moderator:
user name:MTOTO KITAA
user title:Senior member
last actvity:3rd May 2014,11:00
 
Mbona upigi gharama za uchapishaji,usambazaji na kodi jombaaaa!umeshajenga network ya kusambaza hyo magazeti?
 
Vipi kuhusu waandishi, na ofisi? Ina gharama kuliko unavyofikiria mkuu
 
Back
Top Bottom