duh, kazi ya mtoto ni fragile nakushauri kwa hizo details na huo mshaara wa laki atakuwa anamuonea mtoto wa watu kwa shida zetu. Mtoto alie, alishwe , aogeshwe, na kero kibao plus english proficiency . She better thinks twice- (and I am writing from experience). Awe makini aijepata tu mtu kwa tamaa ya hela au shida za hapa na pale