Tofauti na kesi ya Kombe ambayo wauwaji walikuwa wanajulikana hii ya Akwilina ni tofauti, kwa upelelezi wa serikali wauwaji hawafahamiki, hivyo hata kujua umshtaki nani bado ni pagumu.Labda ingeanzia na private investigation kwanza.
Kwa kujazia tu ni kwamba, wauwaji wa Kombe walikuja kusamehewa kipindi cha JK
Sent using
Jamii Forums mobile app
Walisamehewa sababu it was a Govt plan to kill Kombe.
Kombe alisurrender and was not armed sababu ya kumpiga risasi nyingi ulikuwa nini, Gari walikuwa wakikimbiza purporting was H.J. Laddua was already before their eyes...about 15 mts, was there any obstacle for the arrest?.
Wapumbavu wote watano walikuwa juu ya 110 wangeweza kufanya mistaken identity between a car thief and a potential diginitary as per his listed Profiles?
....Commandant....Intelligence Chief, MD Kombe Roses the allegation mistaken identinty is just stupid.
White the car thief can never be compared with the Deceased in any way!
..age wise,completion..Volume even the appearance! walimkatisha maisha yake mazuri na familia yake..kama aquilina.
Nani anasema wauaji wa Aquillina hawajulikani? Unapokuwa lindo ukipiga risasi unaporudisha bunduki unaeleleza risasi iliyopigwa imepigwa wapi na sababu gani so the Govt knows the gun that shot down aquilina wanahamishia uswahili kwa Chadema.
Nevertheless here there were supposed to be cases ya viongoazi wa Chadema na ya wauaji kwanza it was to be preceded together one to be convicted for unlawful and distortion of peace could carry his cake home and the murderer could carry his.
Lakini kwa mambo ya kiswahili Swahili tuliozoea tumepindisha mwelekeo tukachukuwa na pesa za watu.
Do the charges bear fines?