Natafuta wakili nataka nifungue shauri CMA

Msingi_Mbio

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2012
Posts
336
Reaction score
44
Nimefukuzwa kazi isivyo halali, na sijapewa chochote. Natafuta wakili wa kunisaidia au mtu yeyote mwenye uzoefu na kesi za ajira


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Nimefukuzwa kazi isivyo halali, na sijapewa chochote. Natafuta wakili wa kunisaidia au mtu yeyote mwenye uzoefu na kesi za ajira


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Pole mkuu,
kuwepo tu JF ni nusu ya kutatuliwa kwa tatizo lako, tusubiri waje hapa ndipi kisima cha mafanikio kilipo...hapa hawatoi pesa ila maarifa.

pole mkuu
 
Nimefukuzwa kazi isivyo halali, na sijapewa chochote. Natafuta wakili wa kunisaidia au mtu yeyote mwenye uzoefu na kesi za ajira


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Mkuu kuna rafiki yangu pia anaisubiria barua yake,kisa alitoa ushahidi wa kweli juu ya mwenzake aliyefukuzwa kazi kwa magumashi, kampuni inamtuhumu huyu wa sasa kwa kuitia hasara ya kumlipa fidia mwathirika wa kwanza, msaada please.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…