Simplicity.
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,636
- 1,662
Hii ni kwa sababu ya JPM au ndio tabia zao? Ndio maana hawasogelei hili tangazo!Sasa Simplicity. hao wanawake wa kujigharamia wenyewe wako wapi siku hizi?
Hii ni kwa sababu ya JPM au ndio tabia zao? Ndio maana hawasogelei hili tangazo!
HahahahahaaaaaSasa Simplicity. hao wanawake wa kujigharamia wenyewe wako wapi siku hizi?
Nothing happened, unatisha na hiyo avatar, nyani wenyewe halisi sio wabaya kiasi hicho!Hahahahahaaaaa
Mdada atakayejaribu kunifuata kwa gharama zake, nilipo naahidi kumuoa! Labda hii itakuwa motisha.Ndiyo tabia zao siku hizi, wala usihangaike!
Huchelewi kumwambia na hiyo ndoa agharamie.Mdada atakayejaribu kunifuata kwa gharama zake, nilipo naahidi kumuoa! Labda hii itakuwa motisha.
Pploppp Pl ooool looping ööòlllwlploNatafuta wanawake marafiki wa kalamu, email, whatsapp, n.k, wanaopenda kusafiri (kwa gharama zao) nje ya Tz, wanapewa nafasi zaidi, . Urafiki wetu ni wa kujengana, kuimarishana, kutiana moyo na kusaidiana kwa hali zote. Nipm kwa ufafanuzi zaidi.
Please, mtoto wa shule na under 18, kaa mbali na huu uzi.
LkklNatafuta wanawake marafiki wa kalamu, email, whatsapp, n.k, wanaopenda kusafiri (kwa gharama zao) nje ya Tz, wanapewa nafasi zaidi, . Urafiki wetu ni wa kujengana, kuimarishana, kutiana moyo na kusaidiana kwa hali zote. Nipm kwa ufafanuzi zaidi.
Please, mtoto wa shule na under 18, kaa mbali na huu uzi.
Njoo, ni nauli yako tu, ukishafika huku bata zote juu yangu, lakini usipande bombadier.Huchelewi kumwambia na hiyo ndoa agharamie.
Hii comment, something close to 1 out of 4!Pploppp Pl ooool looping ööòlllwlplo