Natafuta wangu wa maisha

scaltingscalting

Senior Member
Joined
Feb 10, 2017
Posts
148
Reaction score
55
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 natafuta mke wa maisha umri sio tatizo kikubwa awe na mapenzi ya dhati dini sio shida kwani ataendelea kusali alipokuwa
 
Kwahyo akija na umri miaka 40 sawa tuu....lazima uwe na limitation kijana.....otherwise upo sahihi kwa unachotaka. Best wshes....huwez jua utampata wapi mke wako.....hata humu pia waweza mpta vzur sana tuu....kaza kamba punguza kuwa selective.......
 
Mtu awe na mapenzi ya kweli baada tu ya kuidoma sms yako? Hii itakuwa ngumu sana.
Hao unaowaona umekosa, je huku gizani? Think big bro
 
Mtu awe na mapenzi ya kweli baada tu ya kuidoma sms yako? Hii itakuwa ngumu sana.
Hao unaowaona umekosa, je huku gizani? Think big bro
Hakuna shida mkuu kwani mapenzi sio ya siku moja kama hafai nampisha tu huwa mimi sio mbishi kabisa
 
Kwahyo akija na umri miaka 40 sawa tuu....lazima uwe na limitation kijana.....otherwise upo sahihi kwa unachotaka. Best wshes....huwez jua utampata wapi mke wako.....hata humu pia waweza mpta vzur sana tuu....kaza kamba punguza kuwa selective.......
Hata miaka 60 ni sawa singalii sura sana kikubwa moyo
 
Kwahyo akija na umri miaka 40 sawa tuu....lazima uwe na limitation kijana.....otherwise upo sahihi kwa unachotaka. Best wshes....huwez jua utampata wapi mke wako.....hata humu pia waweza mpta vzur sana tuu....kaza kamba punguza kuwa selective.......
Hata miaka 60 ni sawa singalii sura wala kipato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…