Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vipi njia ya basi au mkubwa sanaHabari waungwana. Nina mzigo nahitaji kusafirisha kutoka Morogoro kuja Dodoma. Naomba mwenye kufahamu wanaosafirisha mizigo wanijulishe. Shukran
Ni mkubwa ndugu yangu basi halitasaidiavipi njia ya basi au mkubwa sana
unaweza kuwapata wa kutoka dar mkuu au ulizia hata hapo hapo stand dalali wengiNi mkubwa ndugu yangu basi halitasaidia
Shukran mkuuunaweza kuwapata wa kutoka dar mkuu au ulizia hata hapo hapo stand dalali wengi
Njoo Stesheni ya Moro hapa Kichangani utapata usafiri mzuri na salama zaidi ya mizigo yako mpaka makao makuu ya CCM na Nchi!....CCM Hoyeee😄Habari waungwana. Nina mzigo nahitaji kusafirisha kutoka Morogoro kuja Dodoma. Naomba mwenye kufahamu wanaosafirisha mizigo wanijulishe. Shukran
Mkuu upo moro sehem Gani mi nataka kazi yoyote mkuu nipate hela ya maji mkuuNjoo Stesheni ya Moro hapa Kichangani utapata usafiri mzuri na salama zaidi ya mizigo yako mpaka makao makuu ya CCM na Nchi!....CCM Hoyeee[emoji1]
Ukiona njia hii ni shida. Njoo hapa Itigi. Jirani na stendi Ya Msamvu. Utapata malori yenye nafasi ya kukubebea mizigo yako.
Ukiona ni shida, njoo stendi ya Dodoma hapa TANESCO MoroMsamvu. Hapa utapata usafi wa marori ya kutosha kabisa si tu mpaka Dodoma bali hadi Isaka, Kahama, Mwanza mpaka Bujumbura na Kigali!
Ukiona hii ni tabu isiwe shida. Njoo hapa Soko la Mawezi Fuso kibao za kukodi. Hapa utajichagulia kwa kadri ya mfuko wako!
Karibu Moro. Karibu Mji kaso Bahari!
Kaka naomba contact yako, tatizo sipo MoroNjoo Stesheni ya Moro hapa Kichangani utapata usafiri mzuri na salama zaidi ya mizigo yako mpaka makao makuu ya CCM na Nchi!....CCM Hoyeee[emoji1]
Ukiona njia hii ni shida. Njoo hapa Itigi. Jirani na stendi Ya Msamvu. Utapata malori yenye nafasi ya kukubebea mizigo yako.
Ukiona ni shida, njoo stendi ya Dodoma hapa TANESCO MoroMsamvu. Hapa utapata usafi wa marori ya kutosha kabisa si tu mpaka Dodoma bali hadi Isaka, Kahama, Mwanza mpaka Bujumbura na Kigali!
Ukiona hii ni tabu isiwe shida. Njoo hapa Soko la Mawezi Fuso kibao za kukodi. Hapa utajichagulia kwa kadri ya mfuko wako!
Karibu Moro. Karibu Mji kaso Bahari!
Wewe upo wapi.Habari waungwana. Nina mzigo nahitaji kusafirisha kutoka Morogoro kuja Dodoma. Naomba mwenye kufahamu wanaosafirisha mizigo wanijulishe. Shukran
DodomaWewe upo wapi.
Nenda mussa transport watakutumia mzigo wakoDodoma
Nisaidie namba zao za simu tafadhali.Nenda mussa transport watakutumia mzigo wako
0715 263727 ofisi zao zipo pale msikiti wa warangiNisaidie namba zao za simu tafadhali.
Shukran.. ngoja niwapigie. barikiwa sana0715 263727 ofisi zao zipo pale msikiti wa warangi
Mi mwenyewe nawatumia sana kwa mizigo mikubwa fika pale ofisini uwaelekeze kila kitu kitakaa sawa.Shukran.. ngoja niwapigie. barikiwa sana
Mkuu kwema??Mi mwenyewe nawatumia sana kwa mizigo mikubwa fika pale ofisini uwaelekeze kila kitu kitakaa sawa.