Natafuta Watanzania waishio Dubai

Natafuta Watanzania waishio Dubai

Mike Moe

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2019
Posts
319
Reaction score
335
Habari za jioni wana jamii naomba msaada kwa mtanzania yeyote aishie dubai kwa mtanzania yeyote atakaye guswa kusaidia awe wakike au wakiume naomba aniambie nimtafute kupata huo msaada.

Msaada ninao hitaji ni invitation letter kutoka kwa mkazi wadubai pamoja na copy ya passport yake ili niweze kuambatanisha katika nyaraka zangu za maombi ya passport kwasababu nimekwama katika hatua hiyo maombi yangu hayajapokelewa.

Nimejaribu kwenda na barua niliyojaribu kusaka mtandaoni na kuedit lakini imegonga mwamba inatakiwa pia copy ya passport
 
Habari za jioni wana jamii naomba msaada kwa mtanzania yeyote aishie dubai kwa mtanzania yeyote atakaye guswa kusaidia awe wakike au wakiume naomba aniambie nimtafute kupata huo msaada.

Msaada ninao hitaji ni invitation letter kutoka kwa mkazi wadubai pamoja na copy ya passport yake ili niweze kuambatanisha katika nyaraka zangu za maombi ya passport kwasababu nimekwama katika hatua hiyo maombi yangu hayajapokelewa.

Nimejaribu kwenda na barua niliyojaribu kusaka mtandaoni na kuedit lakini imegonga mwamba inatakiwa pia copy ya passport
Pole ila sifikiri kama mambo ni rahisi kiasi hicho.

Anyway kila la kheri
 
Tumia watu, you can't do it alone...
Nakupa mbinu...nenda hapo chang'ombe nje ya HQ ya uhamiaji..ongea na washona viatu vizuri, watakutafutia watu wa ndani(askari) usaidiwe...don't do It straight utakwama.

Andaa laki na nusu, mpango wa kando tofauti na laki na nusu ya passport.
 
Habari za jioni wana jamii naomba msaada kwa mtanzania yeyote aishie dubai kwa mtanzania yeyote atakaye guswa kusaidia awe wakike au wakiume naomba aniambie nimtafute kupata huo msaada. Msaada ninao hitaji ni invitation letter kutoka kwa mkazi wadubai pamoja na copy ya passport yake ili niweze kuambatanisha katika nyaraka zangu za maombi ya passport kwasababu nimekwama katika hatua hiyo maombi yangu hayajapokelewa. Nimejaribu kwenda na barua niliyojaribu kusaka mtandaoni na kuedit lakini imegonga mwamba inatakiwa pia copy ya passport

Kuna kitu unaficha? Kwasababu
1.Huhitaji mwaliko kwenda Dubai au kupata visa ya Dubai.
2.Huhitaji barua ya mwaliko kupata passport.

Nenda uhamiaji waambie nataka passport naenda Dubai au SA kutembea. Hii haihitaji mwaliko wa mtu. Ni wewe na hela yako ya nauli na visa ya Dubai tu. SA huhitaji hata visa.
 
Kuna kitu unaficha? Kwasababu
1.Huhitaji mwaliko kwenda Dubai au kupata visa ya Dubai.
2.Huhitaji barua ya mwaliko kupata passport.

Nenda uhamiaji waambie nataka passport naenda Dubai au SA kutembea. Hii haihitaji mwaliko wa mtu. Ni wewe na hela yako ya nauli na visa ya Dubai tu. SA huhitaji hata visa.
Hakuna ninachoficha ila ndivyo nilivyoambiwa
 
Wanajaribu kutengeneza mazingira ya kuishi sema wew shule yakujiongeza ndo uliruka darasa ……… jiongeze wew ongea na wale askari vzri
 
Back
Top Bottom